Usikose Hivi Vyakula 05
Ambavyo watu wengi wanavidharau
1.Watu wengi wamedanganywa sana
kua wana upungufu wa nguvu za kiume
Sasa huu ndio ukweli
ambao unatakiwa uujue
Hata kama wauza dawa za nguvu za kiume mitandaoni
watachukia
Hasa kama una
Kisukari
Presha
Umri kuanzia miaka 35
2.Madaktari wengi hupuuzia hizi dalili 4 muhimu
Vidonda visivyopona haraka
Miguu kuchomachoma na kuwaka moto
Kupata mkojo kwa shida
Kukojoa mara kwa mara
Hizo sio dalili za kisukari
wala tezi dume pekee tuu
Ni dalili za kukosa
madini ya zinc
3.Faida kuu 3 za madini ya Zinc
Ambazo wanaume wengi hawazijui
4.Ni rahisi Kutibu Tezi dume ukitumia Madini Ya zinc
Zinc ni kama brake ya gari
Huzuia Tezi dume
kukua kupita kawaida
5.Sio Magonjwa tuu
Ata umri huchangia
Ata Umri mkubwa
unaweza kupelekea upungufu wa Zinc
Kadiri umri unavyoongezeka
Ndio uwezo wa tumbo
kufyonza madini ya zinc
hupungua
6.Hii ndio Siri rahisi ya kufurahia tendo la ndoa
Zinc ni kama mafuta kwenye gari
Unahitaji mafuta
ili gari iwake na kutembea
Pia unahitaji Zinc
ili uweze kufanya tendo kwa ufanisi
6.Ukitaka kuongeza nguvu za kiume haraka sana Fanya hivi
Kula hivi vyakula
vyenye madini ya ZINC kwa wingi
Vinafanya kazi haraka sana
Na ndio maana watu wengi
huvitumia kabla ya tendo
kuongeza uwezo kitandani
Vyakula hivyo ni kama
Karanga
Mbegu za maboga
Pweza
Chaza
Tikiti maji
Tende n.k
Kama unataka kutibu nguvu za kiume milele
Jitahidi kila siku Ule vyakula vyenye madini ya zinc
Busta na viagra za muda mfupi hazitakusaidia
7.Tatizo Watu Wengi Hawapendi Kuambiwa huu Ukweli
Unakula Ugali na wali kila siku
Ili upate nguvu za kufanya kazi kila siku
Vivyohivyo
Kwa vyakula vya madini ya zinc
Usitegemee utakula vyakula vya madini ya Zinc Mara moja au mbili au kwa miezi 6 alaf eti uwe na nguvu za kiume milele
8.Hili ndio suluhisho pekee unalohitaji
Kama mazingira uliyopo
haupati vyakula vya kutosha
vyenye madini ya zinc
Au tuu unahitaji kuongeza
kiwango unachokula kila siku
Unaweza kutumia hivi
virutubisholishe vyenye madini ya zinc
Na sio madini ya zinc pekee
Ni madini na vitamin
zaidi ya 12 muhimu zaidi
kwa afya yako
AfricanSupplements@2024