Kama unataka kushusha sukari yako haraka
Basi usile vyakula vya sukari au meza dawa za kushusha sukari kila siku
Walau itakusaidia kwa muda tuu!!
Sio kwasababu hizo njia ni mbaya au hazifanyi kazi
Ni kwasababu
Kuna kitu mwilini huendelea kuzalisha sukari ata baada ya kufanya hayo yote
We unafanya kila namna kushusha sukari
Kumbe INI lako Linakusaliti linaendelea kuizalisha kisirisiri bila we kujua
Na ndio maana kuna baadhi ya Wagonjwa
Asubuhi sukari inakua juu hata kama usiku hawakula vitu vya sukari
Sukari inazidi kuongezeka
Inaanza kutafuna taratibu sehemu muhimu za mwili
Mwisho wa siku
Vidonda visivyopona,figo zinafeli,presha,matatizo ya moyo,macho n.k
Lakini umewahi Kujiuliza
Mbona wazee wetu walikula sana matunda,ugali,wali n.k
Bila kupata kisukari
Ni kwasababu
Hawakujua kukoboa unga,kukamua juisi
Wala kula vyakula ambavyo mbegu zimetengenezwa viwandani
Mambo hayo huondoa kitu muhimu kwenye vyakula kinachoitwa nyuzilishe
Nyuzilishe hufanya kazi kama chujio tumboni
Huchuja na kupunguza sukari inayoingia kwenye damu isilete madhara
Pia hurekebisha INI lisiendelee kukusaliti
Yani liache kuzalisha sukari kimyakimya kama bomba lililopasuka
Jambo ambalo hakuna dawa yoyote iwe ya hospitali au mitishamba inaweza kufanya
Kutibu kisukari bila nyuzilishe ni sawa na kujenga nyumba nzuri bila msingi imara
Nyuzilishe zinapatikana kwa wingi zaidi kwa kula vitu kama
Tatizo ni moja tuu
Unahitaji kula kiasi kingi sana cha vyakula hivyo ili upate kiwango kinachotakiwa
Hivyo kama unahitaji njia rahisi ya haraka na uhakika zaidi
Unaweza kutumia hii bidhaa yenye nyuzilishe ya kutosha