Hakuna Mwanaume Ana Upungufu Wa Nguvu Za Kiume

Wengi Wanaupungufu Wa Haya Madini Tuu.

Ilibaki kidogo tuu huyu mteja nimpige makofi…

Wiki iliyopita kuna kijana alikuja ofisini kwangu

Eti anadai hana nguvu za kiume

Akasema

nikipiga kimoja tuu chalii

uume umelegea hausimami kama msumari

Alaf nawahi kumwaga

Na hamu ya tendo sina

Nikamuuliza

Una Presha
Sukari
Au shida Kubwa ya kiafya??

Akajibu

Hapana
Labda tuu ujanani nilipiga sana punyeto

Nilifanya pia checkup ya mwili mzima
Homoni,mishipa ya damu moyo n.k

Daktari akaniambia sina shida yoyote kiafya

Nikamwambia

Kama ni hivyo tuu
BASI HAUNA SHIDA YA NGUVU ZA KIUME

Akashangaa
Akauliza
Sasa siwezi nikapata ata dawa lkn inayofanya kazi haraka

Nikamwambia

Hizo busta zimejaa pharmacy
Au katumie vumbi la kongo

UTAONA MATOKEO ndani ya nusu saa tuu

Lakini pia ujue hizo busta
Zishaua watu wengi sana

Na hua zinamaliza kabisa ata nguvu kidogo ulizonazo

Unabaki na bunduki tuu lakini haina risasi

Akasema

Mi sihitaji busta nataka tiba ya kudumu

Daah nilikasirika

Nikatamani nimlambe makofi
Mtu nishamwambia hana shida yoyote ye bado anang’ang’ania eti anataka tiba

Akaendelea kuniambia

Hakuna dawa sijanunua,

Nyingi zinakua busta tuu,

Au hazifanyi kazi kabisa.

Lakini Sasa cha kushangaza

hua nikipiga mchuzi wa pweza
Juisi ya tende
Maboga kwa sana

walau napiga kazi vizuri.

Hapo Ndio nikagundua Tatizo lake

Nikamwambia

Hivyo vyakula vyote ulivyovitaja
Vinaongoza kwa kua na madini ya ZINC

Na ZINC ni sawa na mafuta kwenye Gari

Bila mafuta gari haiwezi kuwaka wala kutembea

Bila Zinc Ya Kutosha
Huwezi kupiga show za kibabe

Unakua kama gari ambalo halina mafuta tuu

Nikamwambia wewe hauna upungufu wa nguvu za kiume

Ila tuu una upungufu wa Madini Ya Zinc

Na hili ndio Tatizo kubwa kwa vijana wengi

Wanadhani magari yao yanashida

Wanapoteza pesa nyingi kuyatengeneza

Kumbe hayana tuu mafuta

So nikawa nimempa
List ya vyakula vyenye madini ya zinc ya kutosha

Awe anatumia kila siku ili aongeze mafuta

Akauliza

Kwani hauna supplement zenye hayo madini

Nikamwambia

Ipo ina vitamin na madini zaidi ya 12

Inaitwa MALE PROVITAMIN

Lakini nikamuuliza

Sasa kama hauwezi kupata haya madini kwenye chakula kila siku

Utaweza kumeza supplement kila siku???

Maana Zinc ni mafuta yanayohitajika kila siku mwilini

Akasema haina shida

Aanze kwanza na supplement wakati anaweka mambo sawa

Then atahamia kwenye chakula aachane na supplements

Akachukua supplement za wiki 2 akaondoka

So leo karudi tena kuongeza ile supplement

Karudi anaisifia kinoma

Nikamuuliza kiutani tuu

Si ulisema baada ya wiki mbili utajitahidi uongeze zaidi zinc kwenye msosi

Vipi tena mbona umerudi??

Akasema bado anajipanga

Tukacheka tuu pale
Nikampa mzigo wake akawa ameondoka

@AfricanSupplements2025